18.8 C
Nairobi
Wednesday, April 24, 2024
Home Celebrities "THAT'S MY MESSAGE AND I MEAN IT" BABA LEVO TO ALIKIBA

“THAT’S MY MESSAGE AND I MEAN IT” BABA LEVO TO ALIKIBA

Baba Levo does not regret after publicly exposing suddy brown’s messages after chatting with him on WhatsApp. Due to what is alleged to be Baba Levo wrongly advising Ali Kiba about his show which he planned to make it as homecoming, like what Diamond platnumz did 31 Dec 2020. so Baba Levo has been seen leaning to one side, with that side being believed as WASAFI which is under the diamond platnumz.

read what father Levo wrote

HE SAID;

“#KAMA  @Officialalikiba angenipa Nafasi Ya KUMSHAURI Kuhusu Show yake Ya #KIGOMA. Ningemshauri YaFuatayo… Kwanza Aisogeze Mbele Mpaka Tarehe 28/08/2020 Ili Kujipa Uga Mpana Wa Maandalizi Na Kurekebisha Walipokosea Waandaji Wake… Na Kama Ataiacha Tarehe 14/08/2020 Basi Apunguze Kiingilio .. Kutoka elfu 10 Hadi elfu 5 Na Hii Ni KWASABABU …. #1- Maandalizi Ni Mabovu Mno.. watu waliopewa Nafasi Ya kumuandalia Hii Show HAWAJUI WANACHOKIFANYA… #2 – Kwa GIOGRAFIA Ya Kigoma Wamezoea Show Za Mwisho wa Mwezi Coz 60% Ya wateja Wa Show Ni wafanyakazi Tarehe 14 Ni Katikati ya Mwezi Ni Watu wachache watakuwa Na mishahara Yao Mkononi… #3 – Japo Kampeni Zinaanza Tarehe 26 Haito Athili Hata Kidogo Show yake ya Tarehe 28 kama Ataisogeza.. Coz Kigoma Watu Wakiwa Na Hela Huangaika Wapi Pakwenda Kupata Burudani.. Na kwa siku Hiyo Chaguo Pekee Litakuwa Kwa Ally kiba.. coz ni mwisho Wa mwezi Hela Ipo…

HUU NI USHAURI TU. SIO KWAMBA #NAKUFOKEA Ninacho Amnini Kila Mtu Ana FIKRA Zake.. ISIJE IKAWA SHOW YA KUJIDHALILISHA”

Baba Levo added a screenshot of his chat with Soudy Brown

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Most Popular

President William Ruto Signed Four Universal Health Coverage (UHC) Bills Into Law.

The four bills include the Primary Health Care Bill, Facility Improvement Financing Bill, Digital Health Bill and the Social Health Insurance Bill. The Primary Health...

Tanzanians Flee The War In Israel And Return Home

9 Tanzanians who were in Israel have returned home today October 18, 2023 and were received by the Deputy Minister of Foreign Affairs and...

Israeli President Herzog Slams BBC’s For Refusing To Call Hamas Terrorists During Talks With Rishi Sunak

Israeli President Isaac Herzog slammed the BBC for what he said was a 'distortion of the facts' over its reporting on Hamas during a meeting with British Prime Minister Rishi Sunak...

Watch Videos And Subscribe On Our Channel Special4uTV

https://www.youtube.com/@Special4uTV https://youtu.be/-iwDgQHEGBw   https://www.youtube.com/watch?v=Lz7hbB6xhfc      

Recent Comments