16.8 C
Nairobi
Saturday, June 10, 2023
Home Celebrities "THAT'S MY MESSAGE AND I MEAN IT" BABA LEVO TO ALIKIBA

“THAT’S MY MESSAGE AND I MEAN IT” BABA LEVO TO ALIKIBA

Baba Levo does not regret after publicly exposing suddy brown’s messages after chatting with him on WhatsApp. Due to what is alleged to be Baba Levo wrongly advising Ali Kiba about his show which he planned to make it as homecoming, like what Diamond platnumz did 31 Dec 2020. so Baba Levo has been seen leaning to one side, with that side being believed as WASAFI which is under the diamond platnumz.

read what father Levo wrote

HE SAID;

“#KAMA  @Officialalikiba angenipa Nafasi Ya KUMSHAURI Kuhusu Show yake Ya #KIGOMA. Ningemshauri YaFuatayo… Kwanza Aisogeze Mbele Mpaka Tarehe 28/08/2020 Ili Kujipa Uga Mpana Wa Maandalizi Na Kurekebisha Walipokosea Waandaji Wake… Na Kama Ataiacha Tarehe 14/08/2020 Basi Apunguze Kiingilio .. Kutoka elfu 10 Hadi elfu 5 Na Hii Ni KWASABABU …. #1- Maandalizi Ni Mabovu Mno.. watu waliopewa Nafasi Ya kumuandalia Hii Show HAWAJUI WANACHOKIFANYA… #2 – Kwa GIOGRAFIA Ya Kigoma Wamezoea Show Za Mwisho wa Mwezi Coz 60% Ya wateja Wa Show Ni wafanyakazi Tarehe 14 Ni Katikati ya Mwezi Ni Watu wachache watakuwa Na mishahara Yao Mkononi… #3 – Japo Kampeni Zinaanza Tarehe 26 Haito Athili Hata Kidogo Show yake ya Tarehe 28 kama Ataisogeza.. Coz Kigoma Watu Wakiwa Na Hela Huangaika Wapi Pakwenda Kupata Burudani.. Na kwa siku Hiyo Chaguo Pekee Litakuwa Kwa Ally kiba.. coz ni mwisho Wa mwezi Hela Ipo…

HUU NI USHAURI TU. SIO KWAMBA #NAKUFOKEA Ninacho Amnini Kila Mtu Ana FIKRA Zake.. ISIJE IKAWA SHOW YA KUJIDHALILISHA”

Baba Levo added a screenshot of his chat with Soudy Brown

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Most Popular

Lionel Messi Signs For US Club Inter Miami

Argentinian footballer Lionel Messi is set to sign for US club Inter Miami. His departure from French side Paris St-Germain was confirmed earlier this month. The...

Prince Harry Is Grilled Over ‘Boozy’ Night At ‘Sleazy Strip Joint

Prince Harry is grilled over 'boozy' night at 'sleazy strip joint' as he is accused of 'speculating' again after admitting he's not sure if...

Basata Talking About Beef With Tanzanian Artistes

Minister of Culture, Arts and Sports Ambassador Dr. Pindi Chana today presented the Estimates of Income and Expenditure of the Ministry for the year...

Nyerere’s Statue To Be Built In Addis Ababa

Minister of Culture, Arts and Sports Ambassador Dr. Pindi Chana has today presented the Estimates of Income and Expenditure of the Ministry for the...

Recent Comments

%d bloggers like this: